1. Taarifa tunazokusanya

Tunakusanya taarifa za msingi kama jina la mtumiaji, barua pepe, namba ya simu, shule, Mkoa, Wilaya, pamoja na data ya malipo kwa ajili ya matumizi ya huduma.

2. Kwa nini tunakusanya

3. Jinsi tunavyotunza data

Tunatumia viwango vya usalama vya sekta ili kulinda data yako. Taarifa zinahifadhiwa kwa njia salama na hazitoshiwi kwa wadau wa tatu bila idhini.

4. Matumizi ya data

Data yako inatumika kwa huduma za mfumo, mawasiliano, na uthibitishaji. Hatutumii taarifa zako kwa mambo yasiyo ya huduma bila ridhaa yako.

5. Haki zako